airtelhuduma kwa wateja
Wateja wa Aitel Tanzania wakipatiwa huduma katika ofisi za Airtel Tanzania zilizopo Morocco jijini Dar es Salaam
OAfisa Huduma kwa Wateja, Deogratius Hugo akiongea machache wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya wateja yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam.
Keki ya maadhimisho ya wiki ya mteja.
wa Huduma kwa Wateja Airtel
Tanzania, Adrian Liamba (wa pili kulia) akiwa ameungana na wateja wa
Airtel Tanzania kukata keki ya maadhimisho ya wiki ya mteja
yaliyofanyika katika ofisi za Airtel Makao Makuu jijini Dar es Salaam.
Pembeni yake anayeshuhudia kulia ni ofisa huduma kwa wateja Deogratius
Hugo