Makumbusho hayo yamekamilika kwa asilimia 100 na yatasaidia watalii kutoka mataifa mbalimbali kufurahia zao la utalii wa miamba kutokana na vivutio vilivyoko katika makumbusho hayo ambapo wakazi wa wilaya za Karatu, Ngorongoro, Monduli na Longido watakuwa sehemu ya wanufaika wa mradi huo.
Jengo hilo lenye thamani ya Tsh. Bilioni 25 litazinduliwa Oktoba mwaka huu.
.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

