BAWA AFRIKA
World's News Updates.
Pages
HABARI
GLOBAL NEWS
SHOW BIZ
VIDEOZ
MUSIC
FASHION SHOW
MICHEZO {SPORTS}
May 30, 2017
Tanzia: Mzee Ngosha afariki
Mzee Francis Kanyasu (86) aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Kwa pamoja East Africa Tv inatoa pole kwa Familia ya Mzee Kanyasu pamoja na watanzania wote kwa ujumla.
Newer Post
Older Post
Home