Matukio mbali mbali yaliyojiri wakati wa
Tamasha la Utamadun
bwana Girlbert Mwolia Meneja Mradi wa NCA
Tanzania na TALE HUNGNES wakizungumza na wananchi wa HYDOM wilayani Mbulu.Vijana wa YouthCAN wakitoa elimu YA MAZINGIRA,AFYA NA MAJI SALAMA kupitia muziki wakati wa Tamasha la kiutamaduni
Bwana Zakayo Makobelo akitoa ufafanuzi Juu ya kisima hiki kitumiacho Nishati ya Jua.
Naibu Balozi Norway bwana TRYGVE BENDIKSBY .akizindua kisima cha maji kijiji cha ENDAGAW wilayani Mbulu.
kutoka kulia ni TALE HUNGNES Mwakilishi
Mkazi wa Shirika la
NCA Tanzania,Mkuu wa wilaya ya Mbulu Mh.Flatey
Massay, Balozi Msaidizi TRYGVE
BENDIKSBY, Bwana Abeli Mfanyakizi wa NCA na Afisa Mradi wa WASH NCA Tanzania
Bwana.Zakayo Makobelo.
Mkuu Wa wilaya ya Mkalama Mkoani Singida na Mbunge wa MAkalama wakionyweshwa Vifaa vifaa hivi vya kuzilisha nishati ya jua kwa ajili ya kusaidia Usamabazaji wa maji kijjijni.
Mbunge wa Jimbo la Mkalama Mh.Allan Kilawa akimbebesha maji mmoja ya wanakijiji wa Munguli wilayani Mkalama Mkoani Singida.
Picha ya Pamoja baina ya wafanyakazi wa NCA,4CCP na viongozi wa kiserikali wa wilayani Mkalama mbele ya Mradi mkubwa wa maji unatumia Solor Power ambapo maji yamesambazwa Vijijini kutokea hapo.
CREDIT: PICHA ZOTE NA IMANI NSAMILA









