
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli ambaye pia ni
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),akiwapungia baadhi ya
Wananchi,akiwa ameambatana na katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi
(CCM),Ndugu Abdulrahman Kinana (kulia kwa Rais) wakielekea kwenye ofisi
za kampuni ya kuchapisha Magazeti ya Uhuru Puplication Limited
wanaochapisha magaezeti ya Uhuru,Mzalendo,Burudani na redio ya Uhuru
FM,mapema leo jijini Dar.PICHA ZAIDI ZINAKUJA