Siha Na Maumbile: Suruali za kubana kwa wanaume ni hatari
Suruali za kubana
Mitindo
mbalimbali ya mavazi haswa ya ughaibuni inaonekana kuigwa sana na
vijana. Hata hivyo wasilojua wengi wao ni kwamba kila kinachoingia mjini
si cha kuigwa, moja wapo ya mitindi hiyo ikiwa ni suari za kubana
ambazo zimeoneka kuwa madhara mengi ya kiafya haswa kwa wanaoishi katika
maeneo yenye joto. Katika siha maumbile hii leo tunamulika jiji la
daresalam ambapo mwanahanari wetu Samuel Mwalongo anatupasha athari za
mawavazi hayo ikingatiwa kwamba jiji hilo lina vyawango vya juu vya
joto