Jul 11, 2016

KILIMANJARO COOPERATIVE BANK (KCBL) YASHEREHEKEA MIAKA 20 TANGU KUANZISHWA KWAKE.

Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Kipi Warioba akizungumza wakati wa sherehe hizo zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) Reginald Hosea akizungumza mara baada ya maandamano kuwasili katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi. Meneja Mkuu wa Benki ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) Elizabeth Makwabe akizungumza katika sherehe za kutimiza miaka 20 ya benki hiyo . Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi,Prof Faustine Bee akizungumza katika sherehe hizo zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi.