
Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman, akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mahakama Kanda ya Moshi mara baada ya
uzinduzi rasmi ya Mahakama ya Mwanzo Boang’ombe wilayani 

Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman, akilakiwa na Mhe. Aishieli
Sumari, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Moshi alipowasili
Mahakamani hapo kwa ziara ya kikazi ya kujionea hali ya utendaji kazi
katika Kanda hiyo.

Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akisaini kitabu cha wageni
alipowasili katika ofisi ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kanda ya
Moshi.

Mhe. Jaji Mkuu akisalimiana na baadhi ya Watumishi wa Mahakama, Kanda alipowasili mapema Julai 14, 2016 kwa ziara ya kikazi.

Jaji
Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akikata utepe kuashiria
uzinduzi rasmi wa Mahakama ya Mwanzo Bomang’ombe iliyopo Wilayani Siha
Manispaa ya Moshi.
Read more »