Jun 27, 2016

Mh.January Makamba Ashiriki Maafari ya 24 ya Chuo cha Biblia

2.Akitazama sehemu ya maaandalizi ya bwawa la kufugasamaki




 3.akijifunza namna ya utengenezaji wa Mizingayanyuki kwa kutumia udongo
wamfanyanzi,mizinga hiyo inauwezo wakudumu miaka 80-100.



1.Mhe.January Makamba Akiwasili  choni hapo


5.Akitazama baadhi ya kazi za mikono za kikundi cha wakina mama wa Upendo,kikundi hicho kimepata mafunzo chuoni hapo.

4.Akijifunza historia ya chuo hicho kwa njia ya picha.

Mhe.JanuaryMakamba(MB),Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais(MuunganonaMazingira ) ameitumia Siku yaTarehe 25 /6/2016 kushiriki katika maafari 24 yachuo cha bibliaVuga  (VUGA BIBLE )kilichopo katika halmashauri ya Bumbuli mkoani Tanga
  Vilevile  Mhe.JanuaryMakamba alipata fursa ya kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayofanywa na chuo hicho,
Pia  aliupongeza uongozi wa chuo kwa kutoa elimu mbalimbali kwa wananchi waishio karibu na chuo na bumbuli kwa ujumla.