
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Mecky Sadicky akizungumza wakati wa kukabidhi Madawati 50 yaliyotolewa na benki ya Azania tawi la Moshi kwa shule ya msingi Mnazi katika manispaa ya Moshi ikiwa ni kuunga mkono agizo la rais John Magufuli la kupunguza tatizo la Madawati kwa shule za msingi.

Meneja wa benki ya Azania tawi la Moshi,Hajira Mmambe akizungungumza juu ya hatua ya benki hiyo kuunga mkono agizo la rais John Magufuli la kutatua tatizo la Madawati kwa shule za msingi nchini.

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza katika hafla hiyo ya kukabidhi Madawati 50 yaliyotolewa na benki ya Azania tawi la Moshi kwa shule ya msingi Mnazi.

Wanafunzi katika shule ya msingi Mnazi wakiwa wamekaa katika Madawati yaliyotolewa na benki ya Azania tawi la Moshi.