Meneja
wa huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (Kulia) akizungumza na vyombo
vya habari wakati wa hafla ya makabidhiano ya kompyuta 30 kwa Chuo cha
Taifa cha Utalii (NCT) kwa kupitia mpango wa Airtel FURSA ili
kuwawezesha wanafunzi kujifunza elimu ya ujasiriamali kwa njia ya
kisasa, akishuhudiwa na Meneja Msaidizi wa chuo Oscar Mwambene
(katikati) pamoja na Mkurugenzi wa Mafunzo Eunice Nderingo Ulomi
(kushoto), hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo Temeke, Dar es Salaam.
Meneja wa huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kushoto) akikabidhi
kompyuta 30 kwa Meneja Msaidizi wa chuo cha Taifa cha Utalii (NCT)
Oscar Mwambene (katikati) kwa kupitia mpango wa Airtel FURSA ili
kuwawezesha wanafunzi kujifunza elimu ya ujasiriamali kwa njia ya
kisasa, akishuhudiwa na Mkurugenzi wa Mafunzo Eunice Nderingo Ulomi
(kushoto) katika hafla iliyofanyika chuoni hapo Temeke, Dar es Salaam.
Mkuu
wa idara ya Utalii katika Chuo cha Taifa cha Utalii Elina Makanja
(Kushoto) akimwelekeza mwanafunzi Agape Gerald (Kulia) mara baada ya
kukabidhiwa kompyuta 30 kwa kupitia mpango wa Airtel FURSA ili
kuwawezesha wanafunzi kujifunza elimu ya ujasiriamali kwa njia ya
kisasa, akishuhudiwa na Meneja wa huduma za jamii wa Airtel, Hawa Bayumi
(Katikati).