Mkurugenzi
wa Mipango miji na Vijiji Zanzibar Dkt. Mohammed Juma akizungumza kando
ya Warsha ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa Maeneo na mazingira ya
Zanzibar huko Shangani mjini Zanzibar.
Mwezeshaji
wa mafunzo kutoka Taasisi ya Mazingira ya Finland Bi Riihz Teinirants
akielezea hatua mbalimbali za kufuatwa kwa maafisa mbalimbali
walioshiriki mafunzo ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa Maeneo na
mazingira ya Zanzibar huko Shangani mjini Zanzibar.
Picha
no - 0707 na 0710 Baadhi ya Maafisa kutoka Zanzibar na wenzao wa
Finland wakijadiliana namna ya bora ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa
Maeneo na mazingira ya Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Marumaru
Shangani mjini Zanzibar.