Feb 26, 2016

ZANZIBAR KUANZISHA KITUO CHA MTANDAO WA MAENEO YAKE.

 Mkurugenzi wa Mipango miji na Vijiji Zanzibar Dkt. Mohammed Juma akizungumza kando ya Warsha ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa Maeneo na mazingira ya Zanzibar huko Shangani mjini Zanzibar.
  Mwezeshaji wa mafunzo kutoka Taasisi ya Mazingira ya Finland Bi Riihz Teinirants akielezea hatua mbalimbali za kufuatwa kwa maafisa mbalimbali walioshiriki mafunzo ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa Maeneo na mazingira ya Zanzibar huko Shangani mjini Zanzibar.  
 Picha no - 0707 na 0710 Baadhi ya Maafisa kutoka Zanzibar na wenzao wa Finland wakijadiliana namna ya bora ya kuanzisha kituo cha Mtandao wa Maeneo na mazingira ya Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Marumaru Shangani mjini Zanzibar.