Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa kaimu Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Mhandisi, Aloys Mtei (kulia) kuhusu
mabomba yanayotawanya mafuta kwenda kwenye matangi makubwa ya makampuni
mbalimbali kwenye eneo la Kigambo jini Dar es salaam Februari 11, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua eneo ambalo mafuta hufunguliwa na
kufungwa ili kwenda kwenye matangi ya kuhifadhia mafuta ya makampuni
mbalimbali yanayoagiza mafuta toka nje ya nchi wakati alipokwenda enero
la Kigamboni jijini Dar es salaam kuonamianya inayotumika kukwepa kodi
za mafuta yanayoagizwa nje ya nchikupitia bandari ya Dar es
salaamFebruari 11, 2016.