Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akifafanua
jambo kuhusu ukusanyaji madeni ambayo Wakala wa Majengo nchini (TBA)
inadai wapangaji wake.
Muonekano
wa barabara ya Sakina-Tengeru Km 14.1 inayojengwa kwa njia nne kwa
kiwango cha lami ili kupunguza msongamano wa magari kuingia na kutoka
katikati ya jiji la Arusha.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akijadiliana
jambo na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Bw. Fadhili Nkurlu jijini Arusha.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa (kulia)
akikagua ripoti ya biashara inayofanywa na Kampuni ya Simu nchini
(TTCL), jijini Arusha. Wa tatu kulia ni Meneja Kanda ya Kaskazini TTCL
Bw. Peter Lusama.