Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akikabidhi cheti katika Mkutano wa Nane wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii
Afrika Mashariki na Kati. Makamu wa Rais amefungua rasmi mkutano huo leo
katika Ukumbi wa Benki Kuu.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
(Kulia) akiteta jambo na Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu Mhe. Jenista Muhagama katika ufunguzi wa Mkutano wa nane wa
Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Afrika Mashariki na Kati. Mkutano huo wa siku
mbili umefunguliwa leo na unafanyika jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akiongea na Vyombo mbalimbali vya Habari mara baada ya ufunguzi wa
Mkutano wa nane wa Mifuko ya Jamii Afrika Mashariki na Kati. Mkutano huo
wa siku mbili unafanyika jijini Dar es Salaam.