
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi
wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusu serikali kuhamishia akaunti
zote za mapato Benki Kuu. Kulia ni Mkurugenzi wa Hazina wa Benki ya
CRDB, Alex Ngusaru na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa
Wateja, Tully Mwambapa.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto) akizungumza katika mkutano huo.
Mkurugenzi
wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (kushoto),
Mkurugenzi wa Hazina wa Benki ya CRDB, Alex Ngusaru na Mkurugenzi wa
Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred wakiwa katika mkutano
huo.