Naibu
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Dkt.Hamisi
Kigwangalla (kulia)akitembelea jana Makazi ya Wazee walioathirika na
ugonjwa wa ukoma yaliyopo kijiji cha Nunge eneo la Kigamboni jijini Dar
es Salaam.mwenye shati la batiki Mkuu wa Makazi hayo Moses Gunza.
Naibu
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Dkt.Hamisi
Kigwangalla akimsikiliza mmoja wa wazee aliyejulikana kwa jina la Salum
Ubwabwa wakati alipotembelea jana Makazi ya Wazee walioathirika na
ugonjwa wa ukoma yaliyopo kijiji cha Nunge eneo la Kigamboni jijini Dar
es Salaam.Mzee huyo ambaye alimpatia historia ya eneo hilo, ambalo sasa
limevamiwa na baadhi ya watu.
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto Dkt.Hamisi Kigwangalla akiangalia mazingira ya makazi hayo.