KATIBU MKUU, NAIBU WAKE WIZARA YA UJENZI WAITEMBELEA TTCL.
Ofisa
Mtendaji Mkuu wa TTCL Dr Kamugisha Kazaura (Kushoto) akielezea kuhusu
mipango ya kampuni mbele ya Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Prof Faustine Kamuzora (Katikati) na Naibu Katibu Mkuu Dr
Mary Sassabo (Kulia) walipotembelea kampuni hiyo.
Baadhi
ya maofisa wa TTCL wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Prof Faustine Kamuzora pamoja na Naibu Katibu
Mkuu wake, Dk. Mary Sassabo walipotembelea ofisi za TTCL Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof Faustine Kamuzora
na Naibu Katibu Mkuu, Dk. Mary Sassabo wakiwa katika kikao na
wafanyakazi wa TTCL.
Baadhi
ya maofisa wa TTCL wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Prof Faustine Kamuzora pamoja na Naibu Katibu
Mkuu wake, Dk. Mary Sassabo walipotembelea ofisi za TTCL Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof Faustine Kamuzora
na Naibu Katibu Mkuu, Dk. Mary Sassabo wakiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa TTCL pamoja na baadhi ya maofisa kutoka wizara hiyo.