BAWA AFRIKA
World's News Updates.
Pages
HABARI
GLOBAL NEWS
SHOW BIZ
VIDEOZ
MUSIC
FASHION SHOW
MICHEZO {SPORTS}
Jan 15, 2016
Halima Mdee ashinda kesi ya uchaguzi
Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee leo ameshinda kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa dhidi yake na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Kippi Warioba.
Newer Post
Older Post
Home