RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUMZIKA DK.KIGODA HANDENI LEO
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete akiungana na
wananchi wa Handeni Mkoani Tanga, katika kumzika aliyekuwa waziri wa
Viwanda na Biashara Dk. Kigoda Rais akiwa na chepe ya mchanga.