Oct 16, 2015

MAGUFULI AENDESHA MKUTANO GOMBANI, PEMBA

Mgombe Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk. John Pombe Magufulu akizumgumza na Wananchi na WanaCCM wa Kisiwani Pemba jana katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM zilizofanyika katika uwanja wa Gombani ya kale Wilkaya ya Chake chake Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na Wanachama wa CCM na Wananchi wa Kisiwani Pemba katika mkutano huo.
Maelfu ya wanaCCM waliofurika katika uwanja wa Gombani yakale Wilaya ya Chake chake Pemba wakimshangilia  Dk. Magufuli jana.
Maelfu ya wanaCCM waliofurika katika uwanja wa Gombani yakale Wilaya ya Chake chake Pemba wakimshangilia  Dk. Magufuli jana.
Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiteta jambo na Dk Magufuli jana katika mkutanohuo.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, Abdalla Bulembo pia akiwa Kiongozi wa Msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli akiwasalimia WanaCCM katika mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika jana katika uwanja wa Gombaniyakale wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba.
Miongoni mwa maelfu ya wanaCCM wakimsikiliza Dk Magufuli alipokuwa akitoa sera za Chama cha Mapinduzi CCM jana katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM kuomba Ridhaa ya kuchaguliwa katika nafasi ya kuiongoza Tanzania.