Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya
CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza
kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam
ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia
vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015