BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Dk. John Pombe Magufuli.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli
kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya
kupata kura 8,882,935 sawa na asilimia 58.46%.