Oct 29, 2015

BREAKING NEWS: DK. MAGUFULI NDIYE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

dk. magufuli
Dk. John Pombe Magufuli.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa ndiye Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 8,882,935  sawa na asilimia 58.46%.