Sep 28, 2015

NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando akizungumza na wafanyabiashara   wa wasamaki katika Soko la  feri  hawapo pichani juu ya vikundi  vya    wajasiliamali wadogo na wakubwa  kujiunga na  Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando  akimkabidhi kadi ya uanachama ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF)  Mvuvi wa Samaki wa Soko Kuu la Feri Bwana Mohamed Ally Masoud mwishoni mwa wiki Jijini Dara es Salaam.
 Afisa Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Grace Michael akotowa eli kwa wavuvi  jinsi ya na kujiunga na mfuko huo
04.Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii  Eugen Mikongoti akimffanulia jambo Mvuvi wa samko katika soko Kuu la samaki Fer leo jijini Dar es Salaam.