Kaimu
Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bwana Michael
Mhando akizungumza na wafanyabiashara wa wasamaki katika Soko la
feri hawapo pichani juu ya vikundi vya wajasiliamali wadogo na
wakubwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bwana Michael
Mhando akimkabidhi kadi ya uanachama ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya
Afya (NHIF) Mvuvi wa Samaki wa Soko Kuu la Feri Bwana Mohamed Ally
Masoud mwishoni mwa wiki Jijini Dara es Salaam.
Afisa
Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Grace Michael
akotowa eli kwa wavuvi jinsi ya na kujiunga na mfuko huo
04.Mkurugenzi
wa Mfuko wa Afya ya Jamii Eugen Mikongoti akimffanulia jambo Mvuvi wa
samko katika soko Kuu la samaki Fer leo jijini Dar es Salaam.