
Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi
katika mkutano wake wa kampeni aliofanya jana katika eneo la Msasani
jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakimshangilia mgombea
,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni
katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, jana.

Mgobea Ubunge jimbo la Mtera na
Mjume wa NEC, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampni Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika jana sasani jimbola Kawe
jijini Dar es Salaam.

Mdhanini wa mali za Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Anna Abdallah, akihutubia mkutano wa kampeni wa mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, uliofanyika jimbo la Kawe Dar es
Salaam.
Lusinde akizungumza na Mbunge wa
Afrika Mashariki Angela Kizigha, wakati wa mkutano wa kampeni za CCM
uliofanyika jana katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salam.

Aliyekuwa Spika wa Bunge la
Katiba, Samwel Sitta akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika
jana katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akiwa na Mzee Sitta na Mgombea
Ubunge jimbo la Kawe wa tikati ya CCM, Kippi Warioba, wakati wa mkutano
wa kampeni uliofanyikaleo katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam, jana.

Vijana wa CCM, wakionyesha
furaha zao, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jana katika jimbo
la Ubungo jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa kampeni ulifanyika janakatika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam.

Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni
uliofanyika leo katika jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam jana.

Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la
Ubungo, Dk. Didas Masaburi, katika mkutano wa kampeni uliofanyika jana
katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo
Dk. Didas Masaburi akiomba kura kwa wananchi wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika jana katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Vijana wa hamasa wakiwa katika
shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika jana katika jimbo
la Kinondoni Jijini Dar es Salaam

Mgombea Ubunge jimbo la
Kinondoni, Iddi Azan akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanyika jana katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam

Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia akimwelekeza jambo Mgombea Ubunge kwa tiketi
ya CCm katika Jimbo la Kinondoni, Iddi Azan katika mkutano wa kampeni
uliofanyika katika jimbo hilo jijini Dar es Salaam.

Wananchi wakimshangilia Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia alipohutubia mkutano wa
kampeni uliofanyika katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika
katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, akihutubia mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam


Mgombea mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, Mama Samia akiwaaga wananchi baada ya kuhutubia mkutano
wa kampeni katika jimbo la Kinondoni Dar es Salaam

Wananchi wakimuaga Mgombea Mwenza
wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Damia Suluhu Hassan baada ya mkutano
wa kampeni uliofanyika jana kwenye Viwanja vya Kwa Kopa, Mwananyamala,
jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
