Mkurugenzi
M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu akifafanua jambo kwa
waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi za Afrika
waliokusanyika kwenye jukwaa kubwa la kuonesha vitu mbalimbali
vinavyoburudisha katika chaneli za DStv na GoTv kupitia MultiChoice hivi
karibuni nchini Mauritius.
Mkurugenzi
wa M-Net kwa nchi za Afrika Mashariki na SADC, Theo Erasmus akifurahi
jambo kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi
mbalimbali za Afrika.
Mkuu wa chaneli ya Maisha Magic, Margaret Mathore akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Pichani
ni waandishi wa habari kutoka nchi mbalimbali za Afrika waliokusanyika
kwenye jukwaa hilo lililoandaliwa na MultiChoice Africa hivi karibuni.
Mkurugenzi
M-Net Kanda ya Afrika Magharibi, Wangi Mba-Uzoukwu (katikati) akiwa
kwenye picha ya pamoja na Movie Stars wa nchini Nigeria, Rita Dominic na
Desmond Elliot mara baada ya mkutano na waandishi wa habari.