Obama amaliza hotuba yake
Mama Sarah Obama,Rais Obama na dadaake Daktari Auma Obama wakijumuika
katika chakula cha jioni katika hoteli moja jijini Nairobi.
Barabara nyingi za mji wa Nairobi zimeonekana kuwa bila watu na magari
kufuatia kuwasili kwa rais Obama.Mapema leo maafisa wa polisi
walionekana katika barabara zinazoelekea katika eneo la Gigiri ambapo
rais Obama atafungua rasmi kongamano la kibiashara.Ndege za kijeshi za Marekani zimeanza kuzunguka katika anga ya jiji la Nairobi kuimarisha usalama.
waandishiwa habari
waandishi wa habari wakijindaa kurusha habari kutoka nairobi








