RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO WA MODENAIZESHENI YA SEKTA YA MIFUGO
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kwenye jarida la Mpango wa
Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo baada ya kuuzindua mpango huo jana
Jumatatu Julai 20, 2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na maofisa waandamizi wa Wizara ya
Mifugo baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo
jana.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na jamii ya wafugaji wa kabila la
Kimaasai baada ya kuzindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya
Mifugojana, pamoja naye ni Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Mhe. Raila
Odinga ambaye yupo nchini kwa ziara binafsi.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma jarida la Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Dkt. Kaush Arha baada ya
kuongea katika uzinduzi wa Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya
Mifugo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipatiwa maelezo kuhusu miradi ya maendeleo ya
Wizara ya Mifugo kutoka kwa mmoja wa maofisa waandamizi wa wizara hiyo
wakati Mpango wa Modenaizesheni ya Sekta ya Mifugo jana, hata hivyo
Rais alionesha kutofurahishwa na utendaji wa Wizara hiyo na kuwataka
watendaji wake wabadilike kimawazo kwa kutenda kazi kwa njia za kisasa
ili kuiendeleza sekta hiyo muhimu kwa haraka.