Wananchi wakitazama kivuko cha Mv. Kigamboni baada ya kupoteza mwelekeo na kushindwa kushusha abiria na magari.
Kivuko cha MV Magogoni baada
ya kupakia abiria na magari upande wa Kigamboni kilifanikiwa kutoka na
kilipofika jirani na gati upande wa Magogoni kilipoteza mwelekeo kwa
dakika kadhaa ila baadaye kilifanikiwa kushusha. (PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA)
picha na GPL