Kundi la kigaidi la wanamgambo wa
kiislam,maarufu kama Islamic State limekubali ombi na ahadi ya
wanamgambo wa kutoka kusini mashariki mwa Asia na Ulaya kusini magharibi
katika maeneo ya Chechnya and Dagestan.
Hii ni mara ya kwanza kwa
kundi hilo la IS kukaribisha rasmi kundi la wanajihadi kutoka katika
kanda yao kuingia katika shirika lake.Na hii inaelezwa kwamba imekuja baada ya Vyombo vya habari vinavyotangaza kwa lugha ya lugha ya Kirusi mwishoni mwa wiki iliyopita, kurushwa kwa kipande cha video kinachomuonesha kiongozi mkuu wa kijeshi kutoka Chechnya akiapa na kuahidi kujitoa sadaka na kuwa kuwa mtii kwa IS .
Taarifa za awali zinaeleza kwamba kundi kubwa la kigaidi lenye kujitoa muhanga la Chechnya lilikuwa likipinga harakati za Is
chanzo BBC
