Jun 2, 2015

ALI KARUME AJITOKEZA KUGOMBANI NAFASI YA URASI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Balozi Ali Karume akisalimiana na makada wa chamacha Mapinduzi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga Zanzibar kwa ajili ya kutangaza nia ya kutaka kugombania nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
  Baadhi ya makada walio shirika katika kumuunga mkoko mgombea   Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzaniakatika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga  Zanzibar.
Balozi Ali Karume akiwahutubia wananchi waliofika hapo ili kujuwa lengo lake la kugombea nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania huko Ofisi ya Halmashauri Wilaya ya kati Dunga Zanzibar. PICHA NA MIZA OTHMAN -HABARI MAELEZO ZANZIBAR.