.jpg)
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na madaktari wa Shirika lisilo la
kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza
wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo.
.jpg)
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza akiwa katika picha ya pamoja na
madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake
makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya
moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili
jijini Dar es Salaam leo. Picha na Freddy Maro.