PENDA FASHION UK nchini
Tanzania ni wauzaji wa bidhaa mbalimbali za mavazi ya kisasa kutoka
Uingereza kwa bei nafuu. Wasiliana nao kwa mahitaji yako ya mavazi na
urembo wa kisasa vyenye ubora wa hali ya juu kutoka UK. Pia
wafanyabisahara ya maduka ya nguo wanaweza kuagiza mahitaji yao kupitia Penda Fashion
iliyopo jijini Dar es salaam na kuletewa mzigo kwa bei ya jumla ya UK,
hii itakusaidia kupunguza gharama za usafiri na malazi kwenda Uingereza
hivyo kujiongezea faida.
Utaletewa mzigo wako dukani kwako na usalama wa pesa na mzigo wako ni asilimia 100!
Kwa maelezo zaidi, wasiliana nao kwa namba:
WhatsApp:
+44 7405882575/ Mobile:
+255 715 285 332 E-mail:pendafashionuk@gmail.com
Au watembelee Facebook na Instagram: @pendafhionuk
source: Gpl