May 2, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AWAFARIJI WAFIWA WA BRIGEDIA JENERAL HASHIM MBITA NA DKT ROBERT NTAKAMULENGA MKURUGENZI WA MAZINGIRA [NEMC]

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akitia saini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha ,Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita Nyumbani kwa Marehemu Changmbe Jijini Dar es Salaam jana. 
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib  Bilal akiwafariji  watoto wa Marehemu rigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita alipokwenda Nyumbani kwa Marehemu Changombe Jijini Dar es salaam Jana aliyekaa Bw Mbita hashim naliyesimama  Iddi Hashim Mbita
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akiwafariji Mjukuu wa Marehemu Brigedia Mstaafu Hashim Mbita kijana amal Iddi Hashim Wakati alipofika Nyumbani kwa Marehemu Changombe Jijini Dar es salaam Jana [PIcha na Ofisi ya Makamu Rais] 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilali akisalimiana na watoto wa Maerehemu Robert Ntakamulenga aliyekua  Mkurugenzi wa Mazingira {NEMC]  Nyumbani kwake Kimara Jijini Dar es salaam