Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akitia saini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha ,Brigedia Jeneral
Mstaafu Hashim Mbita Nyumbani kwa Marehemu Changmbe Jijini Dar es Salaam
jana.
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akiwafariji watoto wa Marehemu rigedia
Jeneral Mstaafu Hashim Mbita alipokwenda Nyumbani kwa Marehemu
Changombe Jijini Dar es salaam Jana aliyekaa Bw Mbita hashim
naliyesimama Iddi Hashim Mbita
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal
akiwafariji Mjukuu wa Marehemu Brigedia Mstaafu Hashim Mbita kijana amal
Iddi Hashim Wakati alipofika Nyumbani kwa Marehemu Changombe Jijini Dar
es salaam Jana [PIcha na Ofisi ya Makamu Rais]