May 3, 2015

KASHIFA KWA TAIFA LA TANZANIA

 kitambulisho cha mpiga kura cha nchi ya msumbiji

 baada ya katibu wa wilaya ya MASASI CHADEMA kufanya utafiti takiribani wiki moja huku zoezi la uandikiahaji wa daftari la kudumu la wapiga kura likiendelea imegundulika kuna raia wa nchini MSUMBIJI wanajiandikisha katika zoezi hilo ndipo ikatoka  taarifa kwa vyombo vya usalama na  muda wa majira ya saa nne kwa mkuu wa kituo cha polisi ndanda ndipo hao viongozi  wa chama cha FRELIMO CHA MSUMBIJI waishio Tanzania wakakili kuwa wana wanachama 300  katika kata ya NDANDA NA MWENA na pia wakasema kuwa wana viongozi wao wa wilaya FRELIMO NA AFSA KANDA WA FRELIMO. Mkuu wa polisi  amewataka viongozi wa FRELIMO wawasilishe majina yote ya raia wa msumbiji ili tuwaondoe katka daftari la kudumu.  pia nikawaambia wasitake kuvuruga uchaguzi na hii ni mbinu ya chama  cha mapinduzi na ushaidi ninayo wa kutosha {katibu wa wilaya ya MASASI CHADEMA}

habari na Dickson Arsen masasi