.jpg)
Moto
mkubwa ukiendelea kuteketeza moja ya jengo lililopo kwenye makutano ya
Mtaa wa LivingStone na Narung'ombe, Kariakoo jijini Dar es salaam muda
huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.
.jpg)
Globu ya Jamii inafuatilia tukio hilo taarifa kamili itawajia baadae kidogo.