Apr 30, 2015

Wema :Kweli Nimeolewa na nipo ndani ya ndoa

Wema :Kweli Nimeolewa
Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amemaliza  utaa wa picha zake zilizozagaa mtandaoni  akiwa amavalia shera kwa kuweka wazi kuwa  ni kweli ameolewa. Leo akiongea  na Soudy Brown kwenye U Heard  ya XXL Clouds FM, Wema ameeleza kuwa Katika kipindi cha xxl cha yeye tayari ni mke wa mtu, na kwamba yeye na mwenza wake huyo  wameshafunga ndoa ya bomani kwani mume wake ni mkatoliki na  mme wake huyo amekubaliana na hali yake ya kutoweza kushika ujauzito.  Wema aliongeza kuwa mwisho wa mwezi wa tano watafanya party rasmi kwani harusi yao hiyo ya siri iliusisha watu wachache sana wasiozidi wa tano .

Hongera sana Wema.