Pamoja na kwamba umri wake ni mkubwa sasa, bado kiongozi huyo wa zamani ana muda wa kupumzika na kutaniana na marafiki zake wakati hana mzigo tena wa kuisimamia nchi yake mbali na kutoa ushauri tu anapotakiwa.
Apr 13, 2015
OBASANJO AVUTIA WENGI KWA KUJIPIGA PICHA KWENYE SIMU YAKE
Pamoja na kwamba umri wake ni mkubwa sasa, bado kiongozi huyo wa zamani ana muda wa kupumzika na kutaniana na marafiki zake wakati hana mzigo tena wa kuisimamia nchi yake mbali na kutoa ushauri tu anapotakiwa.