Kaimu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava (kulia) akimkaribisha Waziri wa Nishati na Madini Mhe. George Simbachawene (kushoto) ili aweze kuzungumza
na timu ya majaji na sekretarieti
iliyofanya kazi ya kumtafuta mshindi
wa Tuzo ya Rais ya Utoaji wa Huduma za Jamii na
Uwezeshaji kwa makampuni ya
uziduaji yaani madini na gesi. Timu hiyo iliendesha zoezi hilo mapema Septemba,
mwaka jana.
Waziri
wa Nishati na Madini Mhe. George
Simbachawene (aliyekaa mbele) akizungumza na timu ya majaji na sekretarieti iliyofanya kazi
ya kumtafuta mshindi wa Tuzo ya
Rais ya Utoaji wa Huduma za Jamii
na Uwezeshaji kwa makampuni
ya uziduaji yaani
madini na gesi.
na JIACHIE BLOG