Msanii Kala Jeremiah akiwa kwenye pozi baada ya kuzungumzia Mapinduzi ya Zanzibar.
KIWA leo ni sherehe ya maadhimisho ya miaka 51 ya
Mapinduzi ya Zanzibar, baadhi ya vijana Tanzania
wametoa maoni yao kuhusu sherehe hizo.
Msanii wa muziki Kala Jeremiah ni miongoni mwao ambapo alisema:
“Mapinduzi hayo ni sherehe ambayo inatukumbusha jitihada walizofanya
viongozi wetu kwa kuikomboa Zanzibar kutoka kwa watawala wan je lakini
pia tuikumbuke kwa matendo na si kwa maneno.”