![]() |
| Moja kati ya ma-dancer wa Super Kamanyola anaitwa Cathy Butamu. |
![]() |
| Crew ya bendi yako Super Kamanyola yenye maskani yake Villa Park Kirumba jijini Mwanza. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Cathy Butamu, Alan Mwepu, Husna Bongo na Erick Ramadhan. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Cathy Butamu, Rais wa bendi Shushu Di Cando, Husna Bongo na Erick Ramadhan. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Erick Ramadhan, Cathy Butamu, Kadjo Litungu, na Husna Bongo. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Erick Ramadhan, Cathy Butamu, Husna Bongo na mpiga drums mpya ambaye atakwenda kutambulishwa Sele Cardance. |
![]() |
| Kutoka kushoto ni Cathy Butamu, Erick Ramadhan, Husna Bongo na mpiga rhythm Bevance. |
![]() |
| Mji wa mawe....Mwanza kando kando ya ziwa Victoria na Wana-Super Kamanyola. |
![]() |
| Style mpya za uchezaji kutambulishwa katika usiku wa Valentine 14/02/2015. |
![]() |
| Ze angle. |
![]() |
| 'VIMBA' ni moja kati ya style ya uchezaji. |
![]() |
| Super Kamanyola. |
![]() |
| Kutoka kushoto waliokaa mbele ni Karmodee (mpiga bass), Husna Bongo (dancer), Joshua Ephaem (solo guitar), Alan Mwepu (solo guitar), Rashid Mwenzingo (mwimbaji), Cathy Butamu (dancer) na Sele Cardance (mpiga drums) Kutoka kushoto juu ni Bevance (rhythm guitar), Erick Ramadhan (dancer), Shushu Di Cando (rais wa bendi ambaye ni mwimbaji) na Kadjo Litungu (mwimbaji) . |













