Dec 10, 2014

Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)

10409157_10205679569733486_5620493513808738085_n
“Current situation…… school is closed most offices are closed, time to spend more quality times togther ‪#‎HolidayModeActivated‬,” ameandika Zari kwenye picha alizoweka kwenye ukurasa wa Facebook.

10857794_10205679570533506_8209622117556685701_n 
Kuvuja kwa mkanda wake wa ngono hakujamzuia Zari ‘the Bosslady’ Tlale kufurahia muda bora na wanae wakati huu wa likizo za sikukuu za Christmass. Zari mwenye watoto watatu, ameonesha kutoyumbishwa na kusambaa kwa mkanda huo na leo amepost picha akiwa na wanae wakifurahia chakula pamoja.

10346459_10205679570093495_5689663004884617148_n
10704060_10205679569373477_357524440999240992_n