Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (kushoto) akikabidhi jezi kwa
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya,
wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya michezo
vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya
kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali inayotarajiwa
kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo
hicho, Dk. Crispian Maro.
Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (wa pili kushoto) akikabidhi jezi
kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus
Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya
michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa
ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali
inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni
Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO),
Stanry Julius, Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa tatu
kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
Naibu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya
kifurahia jezi baada ya kukabidhiwa na Airtel Tanzania msaada wa vifaa
vya michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana,
kwa ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali
inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (kushoto), Meneja Uhusiano
wa Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Mratibu wa Michezo wa
Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (wa pili kushoto) akikabidhi
kikombe kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof.
Yunus Mgaya, wakati Airtel ilipokikabidhi chuo hicho msaada wa vifaa vya
michezo vyenye thamani ya milioni 15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa
ajili ya kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali
inayotarajiwa kuanza Jumatatu Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni
Waziri wa Michezo wa Serikali ya Wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO),
Stanry Julius (kushoto), Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa
tatu kushoto) na Mratibu wa Michezo wa Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania, Aneth Muga (wa pili kushoto) akimkabidhi
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Yunus Mgaya,
wakati Airtel msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya milioni
15/-, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kuendesha mashindano
yatakayoshirikisha vitivo mbalimbali inayotarajiwa kuanza Jumatatu
Desema 08 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Waziri wa Michezo wa Serikali ya
Wanafunzi ya chuo hicho (DARUSO), Stanry Julius (kushoto), Meneja
Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa tatu kushoto) na Mratibu wa
Michezo wa Chuo hicho, Dk. Crispian Maro.
Airtel yatoa vifaa vya michezo kwa chuo kikuu cha Dar es saalam
Kampuni
ya simu za mkononi ya Airtel imetoa vifaa vya michezo kwa chuo kikuu
cha Dar es Salaam ili kuendesha mashindano yatakayoshirikisha vitivo
mbalimbali yanayotegemea kuanza jumatatu ijayo katika viwanja vya Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam
Mchango
huu ni mwendelezo wa dhamira ya Airtel katika kuendeleza michezo nchini
inayodhirishwa kupitia mpango wake wa kuinua soka la vijana chini ya
miaka 17 wa Airtel Rising Stars mpango ambao umewawezesha vijana
wakitanzani na Afrika kwa ujumla kuonyesha uwezo wao wa kisoka na kuweza
kufikia malengo yao.
Akiongoe
wakati wa makabidhiano hayo Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando
alisema” Leo tunatoa vifaa vya michezo ikiwemo seti 12 za jezi,
shinguard, soksi, glovu za goalikipa pamoja na makombe yatakayowezesha
kuendesha mashindano haya yanayoshirikisha wanafunzi kutoka vituvo
mbalimbali chuoni hapa. Niwazi kwamba michezo ni burdani na ni sehemu ya
kujenga mwili na afya hivyo ni muhimu pia kwa wanafunzi kutenga muda
wao wa masomo na kushirikia katika michezo mbalimbali. Natoa wito kwa
wanafunzi wengi kujitokeza na kushiriki mashindano haya.”.
“Udhamini
wetu leo ni mwanzo wa mkakati wa kutoa ofa kabambe itakayowapatia
wanavyuo uhuru wa kuongea na kupata dhamani yamatumizi ya pesa zao
Ofa
hii ya huduma maalumu ijulikanayo kama UN255 Itazinduliwa rasmi wakati
wa kilele cha michuano hiii mwishoni mwa wiki ambapo wanafunzi
watafurahi huduma zetu nyingi ikiwa ni pamoja na internet, ujumbe mfupi ,
kupiga simu kwa gharama nafuu. Aliongeza Mmbando
Kwa
upande wake Naibu Makamu mkuu wa chuo Profesa Yunus Mgaya alisema”
nawashukuru sana Airtel kwa mchango wa mkubwa na kwa kutuwezesha kupata
vifaa vya michezo zitavyotuwezesha kuvitumia muda wote wa mashindano.
Sisi kama chuo hatukuwa na bajeti ya kununua vifaa hivi hivyo msaada huu
umekuja kwa wakati muafaka hivyo nawapongeza sana Airtel kwa mchango
wao.”
“Vifaa
hivi vitaleta tija kwa wanafunzi na kuinuua michezo chuoni hapa na ofa
hii UN255 itawawezesha wanafunzi na pamoja na familia yetu yote ya
chuo kikuu cha Dar es saalam kufurahia huduma za mawasiliano bora na kwa
bei nafuu” aliongeza Mgaya.






