Meneja
uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando (kulia) na Meneja masoko
wa Airtel Tanzania, Bi. Aneth Muga (kushoto) wakiwa kwenye picha ya
pamoja na washiriki wa Airtel Trace Music Stars leo mara baada ya
washiriki hao kuongea na waandishi wa habari kwaajili ya kuomba wananchi
kuwapigia kura.
Meneja
uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa
habari (hawapo pichani) wakati alipotangaza washiriki waliongia nafasi
ya kumi bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars kwa wiki hii.
Kulia ni Aneth Muga Meneja Masoko wa Airtel Tanzania anaesimamia
mashindano hayo ya Airte Trace Music Stars. Hafla ya kutangaza washiriki
hao wa 10 bora aimefanyika makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam
leo.
Meneja
Masoko wa Airtel Tanzania,Bi. Aneth Muga akielezea jinsi ya kupiga KURA
kwa washiriki waliofanikiwa kuingia 10 bora ya mashindano ya Airte
Trace Music Stars. Kulia ni meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando
katika hafla ya kuwatangaza washiriki hao iliyofanyika ofisi za Airtel
makao makuu morocco Dar es salaam leo.


