Mwishoni
mwa wiki iliyopita, Oktoba 4, 2014 ilikuwa ni sherehe ya kuadhimisha
siku ya kuzaliwa kwa mwanadada Sophia Nyangasha ambaye ni mfanyakazi wa
Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi
iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge jijini
Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Ilikuwa ni furaha, wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
Shampeni ikigawiwa.
Ilikuwa ni shangwe kwa marafiki ambao waliungana nae.
Cheers!
Tunywe kwa afya...
Bibie Sophia Nyangasha akimtambulisha mchumba wake mbele ya marafiki.
Hapa alikuwa akiteta na mchumba wake.
Pongezi za mabusu.
picha na global news