Habari njema kwa wenye vipaji vya uchekeshaji
Azam TV inatoa nafasi kwa wachekeshaji ambao vipaji vyao
havijapewa nafasi. Ili kufanikisha imeandaa kipindi cha ucheshi cha Luninga
kiitwacho WASAKATONGE COMEDY SHOW. Usahili kwa ajili ya kuwatafuta mwenye vipaji
vya kuchekesha jukwaani na kuigiza vichekesho, ni ijumaa tarehe 10/10/2014
uwanja wa ndani wa Taifa temeke.
Ukiwa
kama mdau tunahitaji msaada wako katika kuijulisha jamii, ndugu jamaa
na marafiki kupitia blog yako, tumeambatanisha picha na online release
unaruhusiwa pia kushea na wengine.
Kwa maelezo zaidi
Mtatiro Joseph (Senior Producer)
Wasakatonge. ni zaidi ya comedy
Azam TV, Burudani kwa wote.

