TUNAOMBA RADHI KWA PICHA: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO NA WENGINE KADHAA KUJERUHIWA.
Zaidi ya
Watu 35 wamefariki dunia papo hapo na wengine
kadhaa kujeruhiwa baada ya Mabasi
waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso katika eneo la Kiabakari-Musoma Mkoani
Mara.
Ajali hiyo
imetoa hii leo kwa kuyahusisha Mabasi ya Musoma Express pamoja na J4 Express.
Tunaendelea kufuatilia tukio hili kwa ajili ya kupata habari zaidi na
tutakujuza kadri tutakavyozipata.
Wananchi wakiwa katika hali ya Simanzi baada ya ajali hiyo