madereva wawili wa boda boda jijini mwanza mitaa ya mitimirefu wamezichapa live kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ugomvi wa kukatalia eneo la kupaki piki piki zao chanzo cha ugonvi huo ni dereva mmoja alifika eneo la kupaki boda boda na kuwaomba wenzake apaki ndipo wenzake wakamkatalia pale pale jamaa akaanza kuwatolea lugha chafu kuwa wao ni wabinafsi kwani parking ni yakila mmoja sasa kwanini wakatalie mwenzao kupakiau kuweka kijiwe eneo lao
ngumi zikiendelea kama kawaida piki piki ikiwa chini
suluhu ikifanyika baada ya ugomvi huo kuzuka
mambo yamekuwa shwari
wapita njia wakidaka michapo