WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AANDAA FUTARI NYUMBANI KWAKE DAR ES SALAAM
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam, Alhad Mussa Salum alipowasili kwenye makaazi ya Waziri Mkuu Mhe
Mizengo Pinda (nyuma yao) Oysterbay jijini Dar es salaam kwa ajili ya
Futari jana Jumamosi Julai 26, 2013. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es
salaam na wa pili kulia ni Kamanda wa Kanda Maalumu ya Polisi ya Dar es
salaam Kamishna Suleiman Kova
Rais
Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali wakijumuika na
waumini wengine katika Swala ya Magharibi katika makaazi ya Waziri Mkuu
Mhe Mizengo Pinda Oysterbay jijini Dar es salaam alikoandaa Futari leo
Jumamosi Julai 26, 2013
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akiongea na baadhi ya waalikwa kwenye futari
aliyoandaa, wakiwemo waigizaji Mpoki wa Ze Komedy, Stephen JB, na
watangazaji wa redio
Makamu
wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Jaji
Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es
salaam Ndg Ramadhani Madabida wakipakua futari
Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba akijumuika na waalikwa wengine kupakua futari
Mawaziri
wakuu Wastaafu Mzee Cleopa Msuya na Jaji Joseph Sinde Warioba wakiwa
wameketi pamoja na Gavana wa Benki Kuu Profesa Benno Ndulu (kulia,
mwenye baraghashia) na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Polisi ya Dar es salaam Kamishna Suleiman
Kova (kushoto) akiwa na viongozi wa dini Mchungaji wa Kanisa la Maombezi
(GRC) la Ubungo jijini Dar, Lusekelo Antony 'Mzee wa Upako' (wa pili
kushoto), Rais wa shirika la kidini la Wapo Mission International
Bishop Sylvester Gamanywa (kulia) na mashehe
Meza kuu ikifurahia jambo baada ya futari
Meya
wa jiji la Dar es salaam Dkt Didas Masaburi na Mwenyekiti wa Jumuiya ya
wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah Bulembo wakiwa
na waalikwa wenzao kwenye futari hiyo
Sehemu ya waalikwa
Wazee Mashuhuri wa mkoa wa Dar es salaam mezani pao
Mufti wa Tanzania Sheikh Shaaban Issa Simba akiongoza dua baada ya futari
Sehemu ya waalikwa kwenye futari hiyo
Rais Kikwete akiagana na mmoja wa wazee mashuhuri wa Mkowa wa Dar es salaam
Rais
Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal na Waziri Mkuu Mizengo
Pinda wakisalimiana na waalikwa baada ya kufuturu pamoja
Rais Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal wakisalimiana na waalikwa
Rais Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakisalimiana na waalikwa baada ya futari
Rais Kikwete akisalimiana na mchora katuni maarufu Ali Masoud 'Kipanya' huku Mrisho Mpoto akisubiri zamu yale
Rais Kikwete akifurahi pamoja na waalikwa wenzie
Rais Kikwete akisalimiana na mmoja wa wazee mashuhuri wa Dar es salaam
Rais Kikwete akisalimiana na mwanamuziki Christian Bella
Rais Kikwete akisalimiana na mwanahabari mkongwe Bw. Mwondosha Mfanga
Rais Kikwete akisalimiana na mwanamuziki nyota wa kizazi kipya, Ommy Dimpoz
Rais Kikwete akiongea na Mwana FA
Rais Kikwete akisalimiana na mtayarishaji, Muongozaji na mwigizaji nyota wa filamu Kulwa Kikumba 'Dude
Rais Kikwete akiendelea kusalimiana na waalikwa wenzie
Mkono
wa mwisho ni wa mtoto huyu aliyepata bahati ya kuagana na Rais Kikwete
na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali baada ya futari