ukwaa la majaji likiwa tayari kwa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambalo linaanza leo mkoani Mwanza katika Kanda ya Ziwa.
Mafundi mitambo wakiwa tayari kwa kazi.
Kundi la kwanza la vijana waliojitokeza katika usaili wa shindano hilo wakiwa kwenye foleni tayari kwa zoezi la kuonyesha vipaji.
undi la kwanza la vijana waliojitokeza katika shindano hilo wakiwa kwenye chumba cha kusubiria.